TRA yawafikisha Mahakamani Wakurugenzi kwa Makosa ya kikodi
Na Barnabas Kisengi Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Dodoma limewafikisha mahakamani Wakurugenzi Watatu wa Kampuni ya Corsyne Consult Limited kwa makosa matatu ya kikodi ikiwemo kutengeneza risiti bandia za kielektroniki na kuisababishia serikali hasara ya sh.milioni 100.7. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma Ofisa Sheria wa TRA Mkoa wa Dodoma, Erasto
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed