TRA yawafikisha Mahakamani Wakurugenzi kwa Makosa ya kikodi

Na Barnabas Kisengi Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Dodoma limewafikisha mahakamani   Wakurugenzi Watatu wa Kampuni ya Corsyne Consult Limited kwa makosa matatu ya kikodi ikiwemo kutengeneza risiti bandia za kielektroniki na kuisababishia serikali hasara ya sh.milioni 100.7. Akizungumza na wandishi wa habari  jijini Dodoma Ofisa Sheria wa TRA Mkoa wa Dodoma, Erasto